Home
»
KITAIFA
» Mgogoro Kanisa Anglikana Wachukua Sura Mpya,Askofu Mokiwa Atishia Kupasua Jipu..!!!
Askofu wa Kanisa Anglikana Dayosisi ya Dar es Salaam, Dk Valentino
Mokiwa amesema ataweka hadharani vitu anavyodai vitaonyesha ukweli wa
mgogoro uliopo katika dayosisi hiyo anayoiongoza.
Amesema baada ya siku saba, atawasilisha kwa waumini vitu vitakavyoeleza ukweli wa mambo kuhusu mgogoro unaondelea sasa.
Hivi karibuni, Askofu Mkuu wa kanisa hilo, Dk Jacob Chimeledya alimtaka
Mokiwa kujiuzulu kwa madai kwamba anatumia vibaya madaraka yake huku
akimtuhumu pia kwa ubadhirifu wa fedha.
Hata hivyo, Askofu Mokiwa alikana madai hayo na kusema mgogoro huo unatengenezwa na adui zake jambo linawavunja mioyo waumini.
Jana, akiweka jiwe la msingi la Kanisa la Kigango cha Mtakatifu Simon na
Yuda, lililopo Kimara Mavurunza ‘A’, Askofu Mokiwa alisema:
“Nipeni wiki hii inayoaanza kesho (leo), nikichelewa wiki moja na nusu
nitawaeleza ukweli; hakuna kitu kilichoibwa wala kukosewa, isipokuwa
waliokosea wanataka kutuvuruga.
About Author

Advertisement

Related Posts
- FRIEDKIN CONSERVATION FUND WATOA MILLIONI 84 KUSAIDIA MIRADI YA MAENDELEO KWA JAMII YA MOYOWOSI, UVINZA NA UGALA02 Oct 20180
Baadhi ya wakurugenzi na viongozi wa Friedkin Conservation Fund wakiwa katika maonesho ya na...Read more »
- MKUU WA MKOA MANYARA AZINDUA LIGI CHEMCHEM BABATI ILIYOGHARIMU SHILINGI MILION 3521 Aug 20180
Mgeni rasmi na baadhi ya viongozi wakikagua timu Baadhi ya mashabiki wakifuatilia mchezo wa uf...Read more »
- RPC MANYARA AWATAKA VIJANA KUSHIRIKI VITA DHIDI YA UJANGILI20 Aug 20180
Mkuu wa wilaya ya Babati,Elizabethi Kitundu kushoto akisalimiana na mkurugenzi mkuu wa chemchem...Read more »
- TANROADS KUONGEZA ALAMA ZA WANYAMA ALIPOPATIA AJALI WAZIRI KIGWANGALA13 Aug 20180
mwandishi wetu, Babati. Wakala wa barabara(TANROADS) mkoa wa Manyara, imetang...Read more »
- TANAPA, NCAA NA CFC ZACHANGAMKIA FURSA NANENANE KUTANGAZA UTALII NA KUPINGA VITA UJANGILI03 Aug 20180
Maonesho ya wakulima na wafugaji nane nane mwaka 2018,yanatumiwa na Taasisi za ...Read more »
- JERRY MURRO ATOA MKWARA MZITO KWA WANAARUMERU MARA BAADA YA KUAPISHWA31 Jul 20180
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo katikati akiwa na wakuu wapya wa wilaya za Arumeru Bwana J...Read more »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.