PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: SHIRIKA LA SIKIKA WAKANUSHA TUHUMA ZA MADIWANI, HALMASHAURI KONDOA DODOMA
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
Mwenyekiti wa Bodi Sikika, Bi. Pili Mtambalike akisoma tamko la Shirika lisilo la Kiserikali la Sikika mbele ya waandishi wa Habari ...

Mwenyekiti wa Bodi Sikika, Bi. Pili Mtambalike akisoma tamko la Shirika lisilo la Kiserikali la Sikika mbele ya waandishi wa Habari leo Agosti 3, 2014 kufuatia kusikitishwa na taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri wilayani Kondoa ya kusitisha shughuli zake katika wilaya hiyo kupitia barua yenye kumbukumbu namba KDC/LGC/M/3 VOL. II/71 ya tarehe 31/07/2014. Kwa mujibu wa barua hiyo, maamuzi hayo yalitolewa katika mkutano wa Baraza la Madiwani uliofanyika 26 Julai, 2014 Kondoa baada ya kuituhumu Sikika kwamba imesema Madiwani hawajasoma. Kutoka Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Sikika Bw. Irenei Kiria, Mjumbe wa Bodi ya Sikika pamoja na Dokta Eli Nangawe (wa Kwanza Kuli).
Mwenyekiti wa Bodi Sikika, Bi. Pili Mtambalike akisoma tamko la Shirika lisilo la Kiserikali la Sikika mbele ya waandishi wa Habari  Agosti 3, 2014 kufuatia kusikitishwa na taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri wilayani Kondoa ya kusitisha shughuli zake katika wilaya hiyo kupitia barua yenye kumbukumbu namba KDC/LGC/M/3 VOL. II/71 ya tarehe 31/07/2014. Kwa mujibu wa barua hiyo, maamuzi hayo yalitolewa katika mkutano wa Baraza la Madiwani uliofanyika 26 Julai, 2014 Kondoa baada ya kuituhumu Sikika kwamba imesema Madiwani hawajasoma. Kutoka Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Sikika Bw. Irenei Kiria na Mjumbe wa Bodi ya Sikika.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Sikika Bw. Irenei Kiria akitolea ufafanuzi tamko lililosomwa mbele ya waandishi wa habari leo Agosti 3, 2014 kufuatia kusikitishwa na taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri wilayani Kondoa ya kusitisha shughuli zake katika wilaya hiyo kupitia barua yenye kumbukumbu namba KDC/LGC/M/3 VOL. II/71 ya tarehe 31/07/2014.  
Waandishi wa Habari wakiwajibika.
Dokta Eli Nangawe akijibu maswali mbele ya waandishi wa habari.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top