PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: AJTC WAIBUKA KIDEDEA KWENYE BONANZA LA WAANDISHI WA HABARI MKOANI ARUSHA
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
  Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa habari za michezo nchini(Taswa)Juma Pinto(kushoto) akibadilishana mawazo na Mwenyekiti...

 

Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa habari za michezo nchini(Taswa)Juma Pinto(kushoto) akibadilishana mawazo na Mwenyekiti wa kudumu wa Taswa mkoa wa Arusha,Jamila Omary aka "Dangote" wakati wa Bonanza la vyombo vya lililopigwa kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.

Mgeni Rasmi katika Bonanza la Vyombo vya Habari mkoani Arusha,Juma Pinto wa pili kushoto,akifatilia michezo iliyokua inaendelea kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha wengine kushoto ni Le Mutuz,Mkurugenzi wa Gogobichi Media,Joseph Lyimo na Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Mega Trade,Goodluck Kway

Washindi wa kukimbiza Kuku  kutoka The Institute of Media and Social Studies(IMS) "wakishow"

Katibu wa Kudumu wa Taswa Arusha,Mussa Juma(shoto) akiwa Le Mutuz baada ya kukagua timu za Arusha One Radio na Arusha Journalism Training College(AJTC)

Mabingwa katika mpira wa miguu na mpira wa Pete(Netball)Chuo cha Arusha Journalism Training College(AJTC)wakishangilia ushindi wao.

Waandishi wa habari za michezo wakifatilia burudani.

WAKUFUNZI wa Chuo cha Uandishi wa Habari na Utangazaji Arusha wakifuatilia mwenendo wa Mchezo kati ya Sunrise Redio na  Chuo cha  hicho cha AJTC

 
Baathi ya wanafunzi wa Chuo cha Uandishi wa Habari na Utangazaji Arusha wakifuatilia kwa makini Mpambano.


Katibu Msaidizi wa Taswa Arusha na Mtangazaji Mahiri wa vipindi vya Michezo na Burudani,Hamza Kalemera akichapa kazi,kulia ni Mussa Juma

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top