
Zitto amesema yeye kama Mbunge wa Kigoma ambapo ndipo nyumbani kwa mwanafunzi huyo, ataruhusu wapiga kura wake kumsindikiza ili kuhoji kama Wanakigoma sio Watanzania maana kila mara wamekuwa wakihojiwa juu ya uraia wao
Abdul Nondo alifika Idara ya Uhamiaji mapema jana kuitikia wito ambapo baada ya mahojiano akaamriwa awasilishe cheti chake cha kuzaliwa pamoja na vya wazazi wake ifikapo tarehe 20 mwezi huu
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.