PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: HUU NDIO UJUMBE WA ZARI THE BOSS LADY KWA WATAKAOHUDHULIA KWENYE AROBAINI YA MTOTO WAKE NILLAN
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
Diamond Platnum  na mpenzi wake  Zari , wanategemea kufanya sherehe ya kuadhimisha arobaini ya mtoto wao  Prince Nillan  Feb28 2017...


Diamond Platnum na mpenzi wake Zari, wanategemea kufanya sherehe ya kuadhimisha arobaini ya mtoto wao Prince Nillan Feb28 2017 Dar es salaam
ikiwa ni baada ya kubadilisha na kuamua kufanyia Tanzania na sio South Africa kama ambayo ilisemekana mwanzo. Zari alithibitisha hivyo kupitia  ukurasa wake wa Snapchat. Pia akawasihi watakaohudhuria kwenye shughuli hiyo wasivae madera wala sare.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top