PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: Pichaz za mkutano wa Yusuph Manji akiomba kura za udiwani Mbagala
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
Headlines za majina ya watu maarufu...
Headlines za majina ya watu maarufu kuingia katika siasa na watu kutoka katika tasnia tofauti tofauti imekuwa kawaida kwa mwaka 2015. October 11 uwanja wa Mbagala Zakhem mwenyekiti wa klabu ya Dar Es Salaam Young African na mfanyabiashara maarufu Yusuph Manji ilikuwa ni siku yake muhimu ya kunadi sera zake za kuomba nafasi ya kuwa diwani wa kata ya Mbagala Kuu. Hizi ni picha za mkutano uliyofanyika October 11, 
DSC_0170
Yusuph Manji akiwasili katika mkutano
DSC_0179
Yusuph Manji akisalimiana na makada wa CCM kabla ya kupanda jukwaani.
DSC_0202
Manji akiteta jambo na moja kati ya viongozi wa chama
DSC_0246
Ukafika wakati wa kunadi sera zake kwa wananchi wa Mbagala
DSC_0274
Manji akiwa na kitabu ambacho kina kila kitu alichoahidi kufanya kama watamchagua kuwa diwani wa kata ya Mbagala Kuu
DSC_0302
Mgombea ubunge wa Jimbo la Mbagala Issa Mangungu
DSC_0290
Mgombea ubunge wa Ilala Mussa Zungu
DSC_0167
DSC_0164
DSC_0133
Msami alikuwepo kutoa burudani
DSC_0093
Tunda Man akitekeleza jukumu lake la utoaji wa burudani
DSC_0095
DSC_0149
DSC_0154
DSC_0041
Queen Darleen na dancers wake
DSC_0024
DSC_0021
DSC_0056
Mo Music katika stage

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top