

Nyota
mpya wa Klabu ya soka ya Yanga ya Dar es Salaam, anayekuja kufanya
majaribio ya kuziba nafasi ya Mbrazili mwenzake Genlson Santos 'Jaja',
Emerson De Oliveria Neves Rouqe akitoa ishara ya dole mara baada ya
kuwasili uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA)
Dar es Salaam na kupokelewa na viongozi wa Yanga. Rouque aliwasili na
Kocha mkuu wa Yanga, Marcio Maximo pamoja na Nyota mwingine kutoka
Brazili Andrew Coutinho.
Post a Comment