PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: BAADA YA MDEE KUHAMASISHA MAANDAMANO JUZI SASA KUPANDISHWA KIZIMBANI
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
 Mbunge wa Kawe kupitia chama cha Chadema, Halima Mdee, akipandishwa katika gari la Polisi baada ya kukamatwa akiongoza maandamano ...


 Mbunge wa Kawe kupitia chama cha Chadema, Halima Mdee, akipandishwa katika gari la Polisi baada ya kukamatwa akiongoza maandamano ya Wanawake wa Chadema (BAWACHA) yaliyofanyika juzi jijini Dar es Salaam, kwa kile kilichodaiwa kuwa maandamano hayo hayakuwa na uhalali, ambapo maandamano hayo yalikuwa yakienelea Ikulu. Mbunge huyo anataajia kupandishwa kizimbani kujibu tuhuma zinazo mkabili wakati wowote kuanzia leo.
 Halima Mdee akibishana na Askari baada ya kupandishwa kwenye gari la Polisi...
 Kinamama wa BAWACHA wakiandamana...na mabango...
 Askari akimdhibiti mmoja kati ya waandamanaji......
 Chini ya ulinzi....
 Baadhi ya kina mama wakizungumza na askari kujaribu kuwaelewesha kuhusu maandamano hayo bila mafanikio..
 Halima Mdee akidhibitiwa chini ya ulinzi.......
Mmoja wa waandamanaji akidhibitiwa..

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top