PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: BARABARA MBOVU ZIMEKUWA KERO KUBWA KWA WAENDESHA BODABODA MKOANI ARUSHA
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
Waendesha bodaboda wa kwa murombo jijini   Arusha wakiwa kwenye kituo chao cha kazi (Picha na Abdul kareem)   Waendesha bodab...


Waendesha bodaboda wa kwa murombo jijini  Arusha wakiwa kwenye kituo chao cha kazi (Picha na Abdul kareem) 
Waendesha bodaboda wa kwa murombo jijini  Arusha  wamelalamikia serikal  kutowapa
Ushirikiano katika kazi zao pamoja na kutowapa ulizi wa kutosha katika kazi zao
Kama ilivyo kwa waendesha magari

Waemesema hayo jana walipokuwa wakiongea na waandishi wa habari jana katika kituo cha barabara mpya fidifose ambapo ndo kituo chao cha kuegesha pikipiki za abiria,pia wamesema changamoto  kubwa ambazo wanakumbana nazo  nipamoja na kunyanganywa pikipik zao
Pia mmoja wa madereva hao aliejitambulisha kwa  jina Girlibet Mallya amesema baadhi ya abiria wakiwachukuwa wanata kuendesha pikipiki wenyewe kitendo ambacho kinapelekea kuaribika kwa pikipiki kwani awapomakini wakati wakuendesha wanajali masilai yao binafsi
       ''Kusema kweli kazi yetu ni ngumu na inaitaji mtu kuwa mvumilivu                  kwasababu ina vikwazo vingi mbali na hayo tumekuwa wakupata ajali mara kwa mara na wenzetu wengi wamepoteza maisha tena wakiwa na umri mdogo;alisema Gilibert''
Mbali na hayo madereva hao wamesema changamoto nyingine katika kazi zao bara bara zinazo ingia katika makazi  ya watu ni mbovu kitendo ambacho kinapelekea wao kushindwa kufanya kazi kipindi cha mvua.
Pamoja na hayo wamesema kuwa nauli wanazo pokea ni ndogo ukilinganisha na umbali wanao mpeleka mteja hivyo wanashindwa kumudu garama za mafuta.
Madereva hao wameitaka serikali kuwapa ushirikiano wa kutosha na kuwasaidia kutatua changamoto zinazo wakabili ili kuwasaidia kuokoa maisha yao hasa wanapo kumbana na  majambazi wanao wateka nyara na kuwanyanganya pikipiki zao.
HABARI NA NDETANISWA PALLANGYO NA ABDUL KAREEM

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top