PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: CHADEMA YAZIDI KUMEGUKA HUKO MUFINDI PITIA HAPA KUPATA TAARIFA KAMILI.........
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
    Katibu wa chama cha mapinduzi CCM W/ Ya Mufindi Miraj Mtaturu akiwa na mjumbe wa halmashauri kuu CCM - MNEC Wilaya ya Mufindi...

 







  Bernado Lugenge aliyekuwa katibu mwenezi CHADEMA, akitoa neno la ushuhuda mara baada ya kujiunga na CCM.

Aliyekuwa Katibu wa Chadema Jimbo la Mufindi Kusini - Emanuel Ngwalanje, akishuhudia jambo, katika hafla hiyo.







Naye Zawadi Shombe aliyekuwa mjumbe wa oparesheni ya M4C kanda ya kusini amesema demokrasia inayohubiriwa kutafutwa na chadema nchini ina walakini kwa kuzingatia kwamba ndani ya chama hicho zipo nafasi za uongozi ambazo wanachama wengine wamekuwa hawapatiwi fulsa ya kuzimiliki.


































About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top