Bernado Lugenge aliyekuwa katibu mwenezi CHADEMA, akitoa neno la ushuhuda mara baada ya kujiunga na CCM.

Aliyekuwa Katibu wa Chadema Jimbo la Mufindi Kusini - Emanuel Ngwalanje, akishuhudia jambo, katika hafla hiyo.
Naye Zawadi Shombe aliyekuwa mjumbe wa oparesheni ya M4C kanda ya kusini amesema demokrasia inayohubiriwa kutafutwa na chadema nchini ina walakini kwa kuzingatia kwamba ndani ya chama hicho zipo nafasi za uongozi ambazo wanachama wengine wamekuwa hawapatiwi fulsa ya kuzimiliki.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.