PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: AJALI YA BASI LA SUMRY YAUA 22 WAKIWEMO POLISI WANNE...
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
Basi la kampuni ya Sumry lenye namba za usajili, T 799 BET lililouwa watu 18 mkoani Singida. Gari la polisi likiwa limepakia maiti ...
AJALI YA BASI LA SUMRY YAUA 22 WAKIWEMO POLISI WANNE...

Basi la kampuni ya Sumry lenye namba za usajili, T 799 BET lililouwa watu 18 mkoani Singida. Gari la polisi likiwa limepakia maiti zaidi ya kumi zikipelekwa hospitali ya mkoa wa Singida kwa ajili ya …

Read more »
30 Apr 2014

PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: REAL MADRID YAINGIA FAINALI YA UEFA KWA KISHINDOOOO CHA BAO 5 BILA
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
Vigogo wa ligi kuu ya Uhispania Real Madrid, wamekuwa timu ya kwanza kufuzu kwa fainali ya ligi ya mabingwa barani ulaya baada ya kuiny...
REAL MADRID YAINGIA FAINALI YA UEFA KWA KISHINDOOOO CHA BAO 5 BILA
REAL MADRID YAINGIA FAINALI YA UEFA KWA KISHINDOOOO CHA BAO 5 BILA

Vigogo wa ligi kuu ya Uhispania Real Madrid, wamekuwa timu ya kwanza kufuzu kwa fainali ya ligi ya mabingwa barani ulaya baada ya kuinyeshea Mabingwa watetezi wa kombe hilo Bayern Munich ya Ujeruma…

Read more »
30 Apr 2014

PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: Ukawa kuunguruma leo Zanzibar
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
  Dar es Salaam. Hatimaye mkutano wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), uliokuwa umezuiwa kupisha sherehe za Muungano utafanyika le...
 Ukawa kuunguruma leo Zanzibar
Ukawa kuunguruma leo Zanzibar

  Dar es Salaam. Hatimaye mkutano wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), uliokuwa umezuiwa kupisha sherehe za Muungano utafanyika leo katika Viwanja vya Kibandamaiti, Unguja baada ya kupata barak…

Read more »
30 Apr 2014

PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: Sudan Kusini kujadiliwa hatima yao kujiunga na EAC leo
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
  Mkutano wa kumi na mbili wa viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki unaaanza rasmi hii leo mjini Arusha nchini Tanzania .   Mio...
Sudan Kusini kujadiliwa hatima yao kujiunga na EAC leo
Sudan Kusini kujadiliwa hatima yao kujiunga na EAC leo

  Mkutano wa kumi na mbili wa viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki unaaanza rasmi hii leo mjini Arusha nchini Tanzania.   Miongoni mwa maswala muhimu yatakayojadiliwa ombi la Sudan Kusini kutaka k…

Read more »
30 Apr 2014

PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: MWANAFUNZI WA CHUO APOTEZA MAISHA WAKATI AKIJARIBU KUTOA MIMBA KATIKA CHUMBA CHA BOYFRIEND WAKE.
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
Mwanafunzi wa Eden Hilling College aliyetajwa kwa jina la Atu Gabriel amefariki akidaiwa kujaribu kutoa mimba kwa kunywa ...
MWANAFUNZI WA CHUO APOTEZA MAISHA WAKATI AKIJARIBU KUTOA MIMBA KATIKA CHUMBA CHA BOYFRIEND WAKE.
MWANAFUNZI WA CHUO APOTEZA MAISHA WAKATI AKIJARIBU KUTOA MIMBA KATIKA CHUMBA CHA BOYFRIEND WAKE.

Mwanafunzi wa Eden Hilling College aliyetajwa kwa jina la Atu Gabriel amefariki akidaiwa kujaribu kutoa mimba kwa kunywa vidonge.Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani (RPC), Orech Mtei, ka…

Read more »
29 Apr 2014

PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: DUNIANI KUNA MAMBO!!!SKETI ZA KUBANA ZAMLETEA SHIDA ASKARI POLISI HUKO KENYA..Fuaatilia hiiii
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
Afisa Linda Okello akiwa kazini Afisaa mmoja wa polisi mwanamke nchini Kenya amepewa onyo kali kwa kuvalia sketi iliyokuwa imembana ki...
DUNIANI KUNA MAMBO!!!SKETI ZA KUBANA ZAMLETEA SHIDA ASKARI POLISI HUKO KENYA..Fuaatilia hiiii

Afisa Linda Okello akiwa kazini Afisaa mmoja wa polisi mwanamke nchini Kenya amepewa onyo kali kwa kuvalia sketi iliyokuwa imembana kiasi cha kuonyesha umbo lake. Wakuu wake walichukua hatua ya kumuo…

Read more »
29 Apr 2014

PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: AJALI ZA BARABARANI: BASI LA KAMPUNI YA AM LAMGONGA MWENDESHA BAISKELI MKOANI ARUSHA
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
Tunaomba radhi kwa picha hizi zenye kusikitisha na kuogofya Mwendesha baiskeli akiwa amelala huku akiwa ameumia vibaya baada ya kugong...
AJALI ZA BARABARANI: BASI LA KAMPUNI YA AM LAMGONGA MWENDESHA BAISKELI MKOANI ARUSHA

Tunaomba radhi kwa picha hizi zenye kusikitisha na kuogofya Mwendesha baiskeli akiwa amelala huku akiwa ameumia vibaya baada ya kugongwa na Basi la AM Basi la AM linaloanya safari zake katika ya mik…

Read more »
29 Apr 2014

PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: GODBLESS LEMA AZIDI KUMWANDAMA RAISI KIKWETE!!!!!!!
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
Mbunge wa Arusha mjini Mh. Godbless Lema akihutubia wakazi wa jiji la Arusha katika viwanja vya levolosi maarufu kwa jina la Samunge hiv...
GODBLESS LEMA AZIDI KUMWANDAMA RAISI KIKWETE!!!!!!!

Mbunge wa Arusha mjini Mh. Godbless Lema akihutubia wakazi wa jiji la Arusha katika viwanja vya levolosi maarufu kwa jina la Samunge hivi karibuni ambapo umati wa wakazi hao ulijitokewza kwa wingi ku…

Read more »
29 Apr 2014

PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: PITIA HAPA SENTENSI 7 MPYA ALIZOZIONGEZA JAJI WARIOBA ZINAZOHUSU KATIBA MPYA.
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
Aliyekua Mwenyekiti wa tume ya taifa ya kukusanya maoni ya katiba Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba jana kupitia kipindi cha dakik...
PITIA HAPA SENTENSI 7 MPYA ALIZOZIONGEZA JAJI WARIOBA ZINAZOHUSU KATIBA MPYA.
PITIA HAPA SENTENSI 7 MPYA ALIZOZIONGEZA JAJI WARIOBA ZINAZOHUSU KATIBA MPYA.

Aliyekua Mwenyekiti wa tume ya taifa ya kukusanya maoni ya katiba Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba jana kupitia kipindi cha dakika 45 cha ITV amezungumza mambo mengi sana ya msingi kuhusu muunga…

Read more »
29 Apr 2014

PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: Wanafunzi watatu wapoteza maisha wakiogelea kwenye ‘Swimming pool’ Dar!
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Kinondoni, linamshikilia mfanyabiashara maarufu jijini Dar es Salaam, Mboka David (44) mkazi wa Kijito...
Wanafunzi watatu wapoteza maisha wakiogelea kwenye ‘Swimming pool’ Dar!
Wanafunzi watatu wapoteza maisha wakiogelea kwenye ‘Swimming pool’ Dar!

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Kinondoni, linamshikilia mfanyabiashara maarufu jijini Dar es Salaam, Mboka David (44) mkazi wa Kijitonyama kwa kosa la kusababisha vifo vya watoto watatu wa shule ya …

Read more »
29 Apr 2014

PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: UKAWA YAZIDI KUIPASUA KICHWA CCM SASA KUSIMAMISHA MGOMBEA URAIS 2015
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
Viongozi wanaounda kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKawa). Kutoka kushoto, Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia, Mwenyeki...
UKAWA YAZIDI KUIPASUA KICHWA CCM SASA KUSIMAMISHA MGOMBEA URAIS 2015
UKAWA YAZIDI KUIPASUA KICHWA CCM SASA KUSIMAMISHA MGOMBEA URAIS 2015

Viongozi wanaounda kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKawa). Kutoka kushoto, Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lip…

Read more »
28 Apr 2014

PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: CHADEMA YAZIDI KUMEGUKA HUKO MUFINDI PITIA HAPA KUPATA TAARIFA KAMILI.........
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
    Katibu wa chama cha mapinduzi CCM W/ Ya Mufindi Miraj Mtaturu akiwa na mjumbe wa halmashauri kuu CCM - MNEC Wilaya ya Mufindi...
CHADEMA YAZIDI KUMEGUKA HUKO MUFINDI PITIA HAPA KUPATA TAARIFA KAMILI.........

   Katibu wa chama cha mapinduzi CCM W/ Ya Mufindi Miraj Mtaturu akiwa na mjumbe wa halmashauri kuu CCM - MNEC Wilaya ya Mufindi ambaye pia ni mwenyekiti wa UWT W ya Mufindi Marcellina Mkini, kati…

Read more »
28 Apr 2014

PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: Madiwani Kiteto kwenda kumwona Pinda ili awatatulie mgogoro wa ardhi
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
mwenyekiti wa HALMASHAURI YA KITETO   Ni Kuhusu kujitokeza mauaji ya wakulima na wafugaji   Wasema vigogo wapo nyuma ya migogoro hiyo NA. ...
Madiwani Kiteto kwenda kumwona Pinda ili awatatulie mgogoro wa ardhi
Madiwani Kiteto kwenda kumwona Pinda ili awatatulie mgogoro wa ardhi

mwenyekiti wa HALMASHAURI YA KITETO  Ni Kuhusu kujitokeza mauaji ya wakulima na wafugaji  Wasema vigogo wapo nyuma ya migogoro hiyo NA. MOHAMED HAMAD     0758 222248 BARAZA la madiwani wa Halamshauri…

Read more »
28 Apr 2014

PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: WAKULIIMA BADO WANAIBIWA NA WAFANYABIASHARA JIJINI MBEYA!!!!!!!!!!!!!
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
Baadhi ya wakulima wa viazi wakiwa wamejaza LUMBESA zao hakika mkulima anaibiwa anajiona je wahusika wa vipimo mpo? Usipojaza RUMBESA...
WAKULIIMA BADO WANAIBIWA NA WAFANYABIASHARA JIJINI MBEYA!!!!!!!!!!!!!

Baadhi ya wakulima wa viazi wakiwa wamejaza LUMBESA zao hakika mkulima anaibiwa anajiona je wahusika wa vipimo mpo? Usipojaza RUMBESA sinunui kwako hapo sasa mweee mkulima apeleke kilio chake wapi? w…

Read more »
28 Apr 2014
 
Top