| Martin Kobler, Mkuu wa MUNUSCO nchini DRC |
Miongoni mwa askari hao sita, wawili wamejeruhiwa vibaya.
Taarifa kutoka kwa mkuu wa MONUSCO Bw. Martin Kobler zinasema mashambulizi hayo hayatapunguza uungaji mkono wa tume hiyo kwa jeshi la serikali ya DRC katika mapambano na waasi wala kuathiri ahadi ya tume hiyo ya kusaidia kurejesha mamlaka ya serikali, amani na usalama nchini humo.
Post a Comment