PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU AFANYA ZIARA KATIKA KITUO CHA MPAKA WA RUSUMO
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Dkt. Hamisi Mwinyimvua (wa nne kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi y...
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Dkt. Hamisi Mwinyimvua (wa nne kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watendaji alioambatana nao katika ziara yake mpakani mwa Tanzania na Rwanda (Rusumo) mkoani Kagera.

Msimamizi wa Mamlaka ya Mapato kituo cha Rusumo Bw.Ally Ellyan (katikati) akitoa maelezo ya hali ya kituo hicho kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Dkt. Hamisi Mwinyimvua wakati wa ziara yake mpakani hapo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Baadhi wa wajumbe wa kikao cha wafanyakazi wa Kituo cha Rusumo wakinukuu hoja kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Dkt. Hamisi Mwinyimvua (hayupo pichani) wakati wa ziara yake mpakani hapo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Dkt. Hamisi Mwinyimvua (wa kwanza kushoto) akiwa katika ziara yake mpakani mwa Tanzania na Rwanda (Rusumo) kwa lengo la kufanya Tathimini ya Utekelezaji wa mpango wa maboresho ya mazingira ya biashara na uwekezaji nchini. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Dkt. Hamisi Mwinyimvua akizungumza na baadhi ya madereva wa malori wakati wa ziara yake katika kituo cha Rusumo Wilayni Ngara Mkoa wa Kagera. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top