PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: PITIA HAPA UZifahamu Sababu za Justine Bieber Kufuta Account yake ya Instagram
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
Moja kati ya mastaa wanaongoza kuwa na Followers wengi katika mitandao ya kijamii huwezi kuaacha kumtaja Justine Bieber amba...


Moja kati ya mastaa wanaongoza kuwa na Followers wengi katika mitandao ya kijamii huwezi kuaacha kumtaja Justine Bieber ambaye account yake ya Instagram ina jumla ya wafuasi milion 77.8 , Mtu wangu headlines zimechukuliwa leo na Staa huyo anayemiliki hitsong ya ‘Sorry‘ kuamua kuifuta account yake ya instagram

Kisa kimeanzia pale Justin Bieber alipokuwa anapost picha na msichana ambaye ni mtoto wa mwanamuziki Lione Richie mwanamitindo Sofia Richie mwenye umri wa miaka 17 ambapo ameonekana akiwa na Justin Bieber kwenye mitoko mingi hivi karibuni.

Baada ya Justin Bieber kupost picha akiwa na msichana huyo mashabiki wake wamekuwa wakicomment maneno yalioonesha kuwa ya chuki na kutopendezwa kwa Justin kuwa karibu na msichana huyo, maneno yalivyozidi Justin akaamua kupost picha na kuandika maneno haya …

’Nitaifanya account yangu iwe private kama hamtaacha chuki, kama nyie kweli ni mashabiki zangu hamuwezi kuchukia watu ninaowapenda mimi‘

Mkasa ukazidi pale mwanamuziki Selena Gomez ambae ni Ex wake Justin kupost picha na kuandika maneno yaliomlenga Justin Bieber na kuandika hivi …
’Kama huwezi kuvumilia chuki acha kumpost girlfriend wako, wekeni iwe muhimu kwenu wawili tu usikasirikie mashabiki wako wanakupenda na walikuwa na wewe kabla ya mtu yeyote yule‘

Mambo yalibadilika na JB kujibu:

‘It’s funny to see people that used me for attention and still trying to point the finger this way. Sad. All love. I’m not one for anyone receiving hate.’

Ujumbe wa Bieber ulimchokonoa zaidi Gomez aliyejibu:
Funny how the ones that cheated multiple times, are pointing the finger at the ones that were forgiving and supportive, no wonder fans are mad. Sad. All love.’

Na baada ya majibizano katika comments Justin na Ex wake, Justin amechukuwa maamuzi ya kufuta Instagram account yake na kwa sasa imebaki facebook na twitter yake tu.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top