Kupitia ukursa wake kwenye mtandao wa kijamii wa instagram Ray ambaye amekuwa akishambuliwa na baadhi mashakibi wake kwenye mtandao huo wakidai kuwa amenunuliwa , aliandika haya;
“Nimeyasikia mengi sana kwenye mitandao ya kijamii ila nasema hivi nitatoa tamko langu soon”.
Nadhani sasa mashabiki wapunguze munkali wasubiri tamko lake.
Post a Comment