Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), akijaribu kumwokoa mtu aliyejulikana kwa jina la Mariano Haruna baada ya kupewa msukosuko na wananchi wenye hasira, ambaye alidaiwa kuletwa kuapishwa kinyemela kama Mwenyekiti wa Mtaa wa Kigogo Fresh Kata ya Pugu (CCM), wakati wa zoezi la kuwapisha lililofanyika jijini Dar es Salaam.
Haruna akiondolewa katika ofisi za Manispaa ya Ilala.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.