| Vijana walioshiriki kongamano hilo wakiwa katika picha ya pamoja mbele ya ofisi za jengo la makao makuu ya jumuiya ya Afrika Mashariki |
| Willy Cosmas akiomba muongozo kwa mmoja wa viongozi wa bunge hilo hayupo pichani kuhusiana na jinsi gani bunge hilo linavyoendesha shughuli zake |
| Mmiliki wa blog ya PRINCEMEDIATZ akiwa ndani ya ukumbi wa bunge la jumuiya ya Afrika mashariki |
| Vijana wakiwa wamewasili ndani ya viunga vya makao makuu ya jumuiya ya Afrika Mashariki wakijaribu kubadilishana mawili matatu |
|
|
| Vijana walioshiriki kongamano hilo wakiwa katika picha ya pamoja mbele ya ofisi za jengo la makao makuu ya jumuiya ya Afrika Mashariki |
| Mmiliki wa Blog hii ya PRINCEMEDIATZ Andrea Ngobole kushoto akiwa na Mtangazaji maarufu Willy Cosmas wa Triple A fm ya jijini Arusha wakiwa katika majukumu ya kazi ya taaluma yao |
Post a Comment