PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: KITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU (LHRC) CHAIPINGA ADHABU YA KIFO
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
   Mkurugenzi Mtendaji  wa Kituo cha Sheria na Haki za  Binadamu (LHRC), Dk.Hel...


  Mkurugenzi Mtendaji  wa Kituo cha Sheria na Haki za 
Binadamu (LHRC), Dk.Helen Kijo-Bisimba.
 Mkurugenzi wa Uwezeshaji na Uwajibikaji wa LHRC, Imelda Urrio (kulia) akizungumza katika mkutano huo. Kushoto ni Mkuu wa Idara ya Dawati la Katiba, Anna Henga. 
 Mkurugenzi Mtendaji  wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk.Helen Kijo-Bisimba (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, wakati akitoa tamko la maadhimisho ya siku ya kupinga adhabu ya kifo Duniani. Kutoka kushoto ni Mkuu wa Idara ya Dawati la Katiba wa LHRC, Anna Henga na Mkurugenzi wa Uwezeshaji na Uwajibikaji, Imelda Urrio.
Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali nchini wakichukua taarifa hiyo

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top