PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: KIKAO CHA CHA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI KUANZA LEO KATIKA UKUMBI WA KARIMJEE JIJINI DAR!!
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
Spika wa Bunge la Jumuia ya Afrika Mashariki (EALA) Dk. Margaret Nantongo Zziwa  akizungumza katika mkutano na waa...

princemediatz.blogspot.comMbunge wa Bunge la Afrika Mashariki na Mwenyekiti wa Wabunge kutoka Tanzania, Adam Kimbisa, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari katika ofisi za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dar es Salaam leo, juu ya mkutano wa kwanza wa Bunge la tatu unaofanyika ukumbi wa Karimjee. Kushoto ni Spika wa Bunge la Jumuia ya Afrika Mashariki (EALA) Dk. Margaret Nantongo Zziwa,wabunge wa EALA kutoka Tanzania, Twaha Taslima na Shy Rose Banji

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top