Home
»
»Unlabelled
» WASAMBAZAJI WA MADAWA YA KULEVYA KIBOKO...SASA WABUNI NJIA MPYA
Kikosi
Kazi cha Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini, kimebaini njia mpya ya
wasafirishaji, ambapo sasa wanapitisha nchi jirani ili wasigundulike
kirahisi na baadaye huzifuata.
Njia wanazotumia wasafirishaji hao ni kupitisha mizigo yao kwenye miji ya Maputo, Kampala na Nairobi.Mkuu
wa Kitengo cha Kudhibiti Dawa za Kulevya, Kamanda Godfrey Nzowa alisema
wasafirishaji hao huagiza dawa hizo kutoka sehemu mbalimbali na
kuzipeleka kwenye nchi ambazo hazina sheria kali.
alisema.
Alisema kwa hali hiyo, sasa wasafirishaji wa dawa hizo wanaharibu njia za kawaida za ndege.
alisema.
Alisema
kuanzia Januari hadi Mei mwaka huu, wamekamata kilo 250 za dawa za
kulevya aina ya heroine na kilo tisa za cocaine na watuhumiwa 22
kufikishwa mahakamani.
Alisema watuhumiwa 16 kati ya hao ni raia wa kigeni na wanne kutoka nchini, ambao walikamatwa na dawa zenye thamani kubwa.
Watuhumiwa
waliokamatwa na dawa zenye thamani zaidi ya Sh10 milioni, kesi zao
zitasikilizwa Mahakama Kuu. Raia wa kigeni waliokamatwa na dawa za
kulevya, Liberia (4), Palestina (4), Kenya (1), Nigeria (1), Marekani
(1) na Iran (8)
About Author

Advertisement

Recent Posts
- The Maasai Families in Longido District allegedly use baptism ceremonies to conceal FGM practices17 Sep 20240
By our Reporter in Longido Some Maasai families in Longido District, Arusha Region ar...Read more »
- Tanzanian Shillings 6.56 Trillion Investment in the JNHPP Project Bears Fruits for the Nation14 Sep 20240
By Our ReporterThe Public Investments Committee (PIC) of Parliament visited the construction site of...Read more »
- 35 teams set to battle in Chem Chem Cup 2024: Sh78 million up for grabs10 Sep 20240
By Mussa Juma, MaipacBabati. A total of 35 teams will participate in the 2024 Chem Chem Cup, costin...Read more »
- Mwiba holdings Donates house for Health Workers and 194 bicycles to Meatu students.29 Aug 20240
By Our Staff Writer in MeatuMwiba Holdings Ltd, a tourism and conservation investment company ...Read more »
- Mount Kilimanjaro porters' jobs in jeopardy due to foreign influence and controversial practices29 Aug 20240
KPAP's influence has shifted the tourism market, with foreign agents favoring their affiliates over ...Read more »
- Tanzania ramps up health education amid Mpox threat25 Aug 20240
By Staff WriterIn a bold move to safeguard Tanzania from the looming threat of Mpox, the Ministry o...Read more »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.