MASHABIKI WA YANGA WALIVYOJITOKEZA KATIKA UWANJA WA SHEIKH AMRI ABEID
PICHA NA ELIFURAHA SAMBOTO AKYOO
pichani ni baadhi ya wapenzi wa timu ya yanga waliojitokeza kwa wingi katika uwanja wa sheikh amri abeid kushuhudia mtanange kati ya maafande wa JKT Oljoro ya Arusha na ya watoto wa jangwani Dar Youngs Africana ( YANGA) ambapo mpaka mtanange huo unamalizika Yanga waliibuka kidedea kwa kuitandika JKT Oljoro mabao 2 kwa 1
Post a Comment