Mh. Nchemba aliyataja baadhi ya
machapisho hayo yatazingatia zaidi takwimu zilizokusanywa na wataalamu
wa Sensa zinazohusu Vizazi na ndoa, Elimu, Uhamiaji na Makazi pamoja na
hali ya ulemavu.
Akitoa shukrani zake kwa Wajumbe wa Kamati hiyo Mwenyekiti Mwenza wa Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi aliipongeza Sekreteri ya Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa kwa Kazi kubwa inayoendelea kuifanya tokea kumalizika kwa zoezi la Sensa ya watu na Makazi Nchini Tanzania.
BALOZI SEIF ALI IDDI AKUTANA NA KAMATI KUU YA SENSA
Title: BALOZI SEIF ALI IDDI AKUTANA NA KAMATI KUU YA SENSA
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2012 inatarajia kuzindua Chapisho la Tatu la Taarifa za msingi za Ki...
Post a Comment