PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: TADB KUWAJENGEA UWEZO WAKULIMA WA MAKUNDI MAALUM
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
  Uwasilishaji wa mada ukiendelea NA : MWANDISHI WETU Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imeonyesha kwa vitendo nia yake ya kuinua...

 


Uwasilishaji wa mada ukiendelea

NA : MWANDISHI WETU

Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imeonyesha kwa vitendo nia yake ya kuinua wakulima wadogo wa makundi maalum nchini kwa kufanya mafunzo ya siku 3 kwa Kituo cha Wakulima Wafugaji Viziwi Tanzania (KIWAWAVITA) yaliyoandaliwa na TADB katika katika ukumbi wa Edema, mkoani Morogoro.


Mafunzo hayo yamelenga kuwajengea uwezo kwa nadharia na vitendo wakulima hao wa kituo hicho cha Wakulima na Wafugaji Viziwi Tanzania ili wainuke kiuchumi na kuongeza uzalishaji wa tija.

Mafunzo hayo yalijumuisha  mada kama:

📖 Elimu ya Fedha na Biashara
🌾 Huduma zinazotolewa na TADB
👨‍🌾 Kilimo cha Mbogamboga
🥑 Kilimo cha Kisasa

Mafunzo hayo ni muendelezo wa mpango wa TADB katika kufikia wakulima wa makundi maalum ili kuwajengea uwezo wakulima wadogo nchini waweze kutoka katika kilimo cha kujikimu kwenda kwenye kilimo cha


Kazi katika makundi

Usikivu makini

Majadiliano KATIKA makundi

Picha ya pamoja ya wadau

 

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top