Home
»
yanayojiri ARUSHA
» MRISHO GAMBO AMUWEKA LEMA PABAYA, ALITAKA JIMBO LA ARUSHA MJINI KWA GHARAMA YOYOTE
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo ameanza mapema Kuliwania jimbo la Arusha Mjini kuwa Mali ya chama cha Mapinduzi na kuliondoa upinzani linakoshikiliwa na mbunge wa Sasa Godless Lema kupitia chama cha demokrasi na Maendeleo Chadema kwa kuwataka wanaccm waanze kujipanga vema kwenye Matawi yao
Gambo ambaye amekuwa akitajwa tajwa kutaka kuwania jimbo hilo bado hajatoa tamko rasmi kuwa anagombea ama la, ila amewataka wanachama wa ccm kuanza kupitapita kwenye matawi kwa lengo la kujiweka utayari.
"Kama kuna mwanachama yeyote wa ccm anaweza kufanya vurugu kwenye tawi lolote mwacheni afanye vurugu, lakini tukianza kuvutana ccm wenyewe kwa wenyewe hatufiki mbali "Amesema Gambo
Kauli hiyo ameitoa Mey 27 mwaka Huu katika shule ya msingi Nadosoito iliyopo jijini Arusha, wakati alipokuwa akiongea na wanachama wa ccm akiwa ameambatana na Mfanyabiashara Maarufu,Philemon Mollel ambaye aliwahi kuwa mgombea ubunge kupita ccm mwaka 2015
Aidha amesema kumekuwepo na Minong'ono kuwa jimbo la Arusha mjini huenda likagawanywa kwa maslahi ya wanasiasa, jambo ambalo amesema hakuna kitu kama hicho.
"Mlisema ukiweka jiwe na ccm watu wanachagua jiwe sasa mmechagua jiwe mmeona wenyewe " Amesema Gambo
About Author

Advertisement

Related Posts
- FRIEDKIN CONSERVATION FUND WATOA MILLIONI 84 KUSAIDIA MIRADI YA MAENDELEO KWA JAMII YA MOYOWOSI, UVINZA NA UGALA02 Oct 20180
Baadhi ya wakurugenzi na viongozi wa Friedkin Conservation Fund wakiwa katika maonesho ya na...Read more »
- MOBISOL YASHIRIKI SIKU YA USAFI WA MAZINGIRA DUNIANI, WAHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI JUA KUTUNZA MAZINGIRA17 Sep 20180
Baadhi ya wafanyakazi wa Mobisol Wakifanya usafi wa mazingira jijini Arusha mapema leo Baadhi ...Read more »
- JERRY MURRO ATOA MKWARA MZITO KWA WANAARUMERU MARA BAADA YA KUAPISHWA31 Jul 20180
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo katikati akiwa na wakuu wapya wa wilaya za Arumeru Bwana J...Read more »
- WAANDISHI WAWASILI KWA MGANGA WA JADI ILI KUMUELIMISHA JUU YA MADHARA YA UKEKETAJI KWA WATOTO WA KIKE.01 Jun 20180
Waandishi wa redio jamii tano Tanzania toka katika mikoa minne ya Arusha,Manyara,Dodoma na ...Read more »
- WAMAASAI, WASONJO WATAKIWA KUACHA UKEKETAJI01 Jun 20180
Jamii za Kimaasai na Sonjo zinazopatikana katika wilaya ya Ng...Read more »
- WADAU WA UTALII JIJINI ARUSHA WATOA MSAADA KUBORESHA HUDUMA YA AFYA31 May 20180
WADAU wa utalii mkoani Arusha wamekabidhi msaada wa Vitanda 40 kumi &nbs...Read more »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.