
Kamanda wa Polisi mkoa wa Singida Deborah Magiligimba amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kueleza kuwa ni kweli kuna watu wawili wamefariki, lakini bado hawajapata majina yao.

Journalist , Enterpreneur, Lecturer and Blogger. Email :ngoboleaa@gmail.com.
Post a Comment