Home
»
HABARI ZA BIASHARA
» MSHINDI WA SHILINGI MILIONI 30 YA DROO YA JUMAPILI YA JACKPOT YA TATU MZUKA AKABIDHIWA FEDHA ZAKE
Balozi wa Mchezo wa Tatu Mzuka, Mussa Hussein (kushoto), akimkabidhi hundi ya shilingi milioni 30 mshindi wa droo ya Jumapili ya Jackpot ya Tatu Mzuka, Tausi Mashombo jijini Dar es Salaam jana, aliyojishindia kutoka katika mchezo wa Tatu Mzuka ambao umejizolea umaarufu kwa kutoa washindi kila saa. Jackpot hiyo inaendelea Jumapili hii kwa mshindi kujishindia shilingi milioni 80.
Mshindi wa milioni 30 ya droo ya Jumapili ya Jackpot ya Tatu Mzuka, Tausi Mashombo, wa pili kushoto, akiwa na marafiki zake ambao wote wamejishindia milioni 1 kwenye kampeni ya Cheza na Shinda na Marafiki. Kutoka kulia ni Riwa Lyimo akifuatiwa na Edna Msangi. Tatu Mzuka ambao wanaendesha droo ya kila saa na washindi kuweza kujishindia hadi shilingi milioni 6, sasa wanaendesha droo ya Shinda na Marafiki, ambapo pia inatoa fursa kwa washiriki watatu kushinda shilingi milioni moja kila mmoja.
Mshindi huyo, Tausi Mashombo akionyesha alama ya tatu mzuka mara baada ya kukabidhiwa zawadi yake.
About Author

Advertisement

Related Posts
- FARU WA HIFADHI YA SERENGETI KULINDWA KWA GHARAMA YA SHILINGI BILIONI 2.511 Sep 20180
Mwandishi wetu,Arusha. Vita dhidi ya ujangili wa Fa...Read more »
- TAASISI YA FRIEDKIN CONSERVATION FUND ( FCF) YAFADHILI MRADI WA TEMBO KUFUNGWA VIFAA VYA UTAMBUZI09 Sep 20180
Dr. Edward Kohi wa kituo cha utafiti wa wanyama pori TAWIRI akiwana Dr.Robert Fyumagwa wa...Read more »
- TAASISI ZAPONGEZWA KUBORESHA NANE NANE 2018 SIMIYU13 Aug 20180
Baadhi ya wakurugenzi na viongozi wa Friedkin Conservation Fund wakiwa katika maonesho ya nanenane...Read more »
- TAASISI YA FRIEDKIN CONSERVATION FUND YATOA SHILINGI MILION 110 KUSAIDIA ELIMU SIMIYU09 Aug 20181
Wakurugenzi wa taasisi ya friedkin conservation fund wakiongozwa na Abdukadir Mohamed wakika...Read more »
- DKT CHARLES TIZEBA AZINDUA MAADHIMISHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANENANE KITAIFA MKOANI SIMIYU04 Aug 20180
Mgeni rasmi-Waziri wa kilimo Mhe Dkt Charles Tizeba akihutubia mamia ya wananchi waliojitok...Read more »
- MABANDA YA TAASISI ZA UHIFADHI TANAPA, FCF NA NCAA YAWAVUTIA WENGI MAONESHO YA NENANE SIMIYU03 Aug 20180
Wananchi mbalimbali wakipata maelezo na umuhimu wa utalii ndani ya mabanda ya ...Read more »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.