PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: Ujumbe wa Ronaldinho kwa Cristiano Ronaldo baada ya ushindi wa Ballon d’Or
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
Jumatatu ya December 12 201...


Jumatatu ya December 12 2016 ilikuwa ni siku ya kihistoria kwa nahodha wa timu ya taifa ya Ureno anayeichezea Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo, staa huyo wa Ureno December 12 ndio siku rasmi aliyotangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya Ballon d’Or 2016.

Baada ya ushindi huo wa tuzo ya nne ya Ballon d’Or, staa wa zamani wa FC Barcelona na timu ya taifa ya Brazil Ronaldinho ambaye amewahi kushinda tuzo hiyo mwaka 2005, ametumia ukurasa wake wa instagram kumpongeza Ronaldo kwa ushindi huo, Ronaldinho ametumia lugha ya kireno.
screen-shot-2016-12-13-at-5-13-58-am
“Hongera rafiki yangu Cristiano kwa ushindi wa tuzo hiyo ulistahili na kwa miaka ya hivi karibuni umekuwa na mafanikio makubwa, tuzo hiyo ni heshima kwa manufaa yako”

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top