PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: Orodha ya Marais 10 Kutoka Nchi za Afrika Wanaoongoza Kwa Kuwa na Kiwango Kikubwa cha Elimu
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
Orodha ya Marais 10 kutoka nchi za Afrika wanaoongoza kwa kuwa na kiwango kikubwa cha elimu. 10) Ellen Johnson Sirleaf (Lib...


Orodha ya Marais 10 kutoka nchi za Afrika wanaoongoza kwa kuwa na kiwango kikubwa cha elimu.

10) Ellen Johnson Sirleaf (Liberia)

Elimu: Master of Public Administration (M.P.Adm.), Bachelor of Economics (BEc), Associate Degree in Accounting (A.A.)

Ellen Johnson Sirleaf ni Rais wa 24 wa Liberia ambaye bado yupo madarakani hadi sasa. Amesomea katika vyuo mbalimbali kikiwemo Chuo wa West Africa, Madison Business College. Alijiunga na Taasisi ya Uchumi Boulder, Colorado, mwaka 1970.


9) Faure Gnassingbe (Togo)

Elimu: Master of Business Administration (M.B.A), Bachelor of Business (B.B.A).

Faure Gnassingbe alipata elimu yake ya msingi na sekondari Lome, Shahada ya uchumi kutoka Paris nchini Ufaransa na MBA katika Chuo Kikuu cha George Washington nchini Marekani.



8) Robert Mugabe (Zimbabwe)

Elimu: Master of Laws (LL.M.), Master of Science (M.Sc), Bachelor of Laws (LL.B), Bachelor of Science (B.Sc), Bachelor of Education (B.Ed), Bachelor of Administration (B.A.A), Bachelor of Arts (B.A.)

Robert Mugabe amepata Shahada yake moja kutoka katika chuo cha Fort Hare nchini Zimbabwe. Shahada nyingine alizipata kwa kusoma chuo huria.


7) Ibrahim Boubacar Keïta (Mali)

Elimu: Master of Political Science (M.S.), Master’s degree in History (M.A.)

Ibrahim Boubacar Keita amekuwa Rais wa Mali kuanzia mwaka 2013. Amesoma vyuo mbalimbali Paris nchini Ufaransa, Bamako, Dakar nchini Senegal.



6) Dr. Ameenah Gurib (Mauritius)

Elimu: PhD in Organic Chemistry, Bachelor of Science in Chemistry (B.Sc.)

Dr. Ameenah Gurib-Fakim ni Rais wa Mauritius, amepata Shahada yake ya kwanza ya Chemistry kutoka Chuo Kikuu cha Surrey mwaka 1983 na Shahada ya Uzamivu (PhD) kutoka katika Chuo Kikuu cha Exeter nchini Uingereza.



5) Dr. Mulatu Teshome (Ethiopia)

Elimu: Ph.D. in International Law, Bachelor’s Degree in Philosophy (B.Phil.)

Dr. Malatu Teshome amekuwa Rais wa Ethiopia tangu mwaka 2007. Elimu yake ameipata kutoka nchini China.


4) Alassane Ouattara (Côte d’Ivoire)

Elimu: Ph.D. in Economics, Master of Economics (M.Econ.), Bachelor of Science (B.S.),



3) Dr. Peter Mutharika (Malawi)

Elimu: Doctor of Juridical Science (J.S.D.), Master of Laws (LL.M), Bachelor of Laws (LL.B.),


2) King Mohammed VI (Morocco)

Elimu: Doctor of Law (J.D.),  Master of Advanced Studies (M.A.S.), Bachelor of Laws (LL.B.)



1) Dr. Thomas Boni Yayi (Benin)

Elimu: PhD in Economics and Political, Master of Economics (M.Econ.)

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top