Hatimaye darasa la Ngorongoro limeibuka kidedea katika mashindano ya utangazaji
katika chuo cha uandishi habari na utangazaji Arusha mashindano yaliyochukua
takribani siku tano.
Darasa hilo baada ya kuingia fainali hiyo jana kati ya madasa 13ambapo leo hii limejishindia
kombe pamoja na pesa tasiilimu shilling laki moja na nusu huku likifatiwa na darsa la Kilimanjaro
nafsi ya pili wakijishindia laki moja darasa la serengeti limeshikili nafsi ya tatu na kupewa
zawdi shilling elf sabini huku baadhi ya wanafunzi walio
Hata hivyo mkuu wa chuo hicho bw Joseph Mayagila amewapongeza wanafunzi
wote walioshiriki na kuwataka wasibweteke bali waendelee kujituma ili wafanye vizuri
katika mashindano mengine yatakayojitokeza
Kwa upande wake mkuu wa wa kitengo hicho Bw Onesmo Elia Mbise amesma mashindano
hayo yamendeshwa kwa haki na usawa na majaji wamefuata kanuni zote za uhakiki
wa vipindi lakini akiwataka wanafunzi wote kuongeza juhudi na kuiga vile
vyote vizuri walivyoviona katika vipindi mbali mbali
Mashindano hayo ambayo ni ya tisa kufanyika chuoni yamekamilika hii leo
huku wanafunzi wakionyesha mwitikio na ushindani mkubwa tofauti na miika mingine
Na Baraka lang
About Author

Advertisement

Related Posts
- FRIEDKIN CONSERVATION FUND WATOA MILLIONI 84 KUSAIDIA MIRADI YA MAENDELEO KWA JAMII YA MOYOWOSI, UVINZA NA UGALA02 Oct 20180
Baadhi ya wakurugenzi na viongozi wa Friedkin Conservation Fund wakiwa katika maonesho ya na...Read more »
- MOBISOL YASHIRIKI SIKU YA USAFI WA MAZINGIRA DUNIANI, WAHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI JUA KUTUNZA MAZINGIRA17 Sep 20180
Baadhi ya wafanyakazi wa Mobisol Wakifanya usafi wa mazingira jijini Arusha mapema leo Baadhi ...Read more »
- JERRY MURRO ATOA MKWARA MZITO KWA WANAARUMERU MARA BAADA YA KUAPISHWA31 Jul 20180
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo katikati akiwa na wakuu wapya wa wilaya za Arumeru Bwana J...Read more »
- WAANDISHI WAWASILI KWA MGANGA WA JADI ILI KUMUELIMISHA JUU YA MADHARA YA UKEKETAJI KWA WATOTO WA KIKE.01 Jun 20180
Waandishi wa redio jamii tano Tanzania toka katika mikoa minne ya Arusha,Manyara,Dodoma na ...Read more »
- WAMAASAI, WASONJO WATAKIWA KUACHA UKEKETAJI01 Jun 20180
Jamii za Kimaasai na Sonjo zinazopatikana katika wilaya ya Ng...Read more »
- WADAU WA UTALII JIJINI ARUSHA WATOA MSAADA KUBORESHA HUDUMA YA AFYA31 May 20180
WADAU wa utalii mkoani Arusha wamekabidhi msaada wa Vitanda 40 kumi &nbs...Read more »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.