PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: SUMAYE NAYE ATIMKIA UKAWA......
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye azungumza live  katika mkutano wa UKAWA na kusema kuwa anajiunga nao rasmi pia matangazo hayo yam...
Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye azungumza live  katika mkutano wa UKAWA na kusema kuwa anajiunga nao rasmi pia matangazo hayo yamerushwa moja kwa moja na ITV.
wanaomsikiliza hapo kulia ni viongozi wa ukawa pamoja na mgombea uraisi MH. EDWARD LOWASSA kupitia chadema kinachowakilisha umoja wa katiba ya wananchi yaani UKAWA.


 Waziri Mkuu mstaafu, Fredreck Sumaye (kushoto), akizungumza na wanahabari wakati akitangaza kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
 Waziri Mkuu mstaafu, Fredreck Sumaye (kulia), akipeana mkono na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe Dar es Salaam jana  mchana, baada ya kujiunga na chama hicho. Anayeshuhudia katikati ni Mgombea urais wa Tanzania kupitia chama hicho, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.
 Sumaye akisisitiza jambo
Sumaye (wa tatu kulia), akiwa na viongozi wanaunda Umoja wa Katiba (UKAWA) baada ya kuondoka CCM na kujiunga na Chadema.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top