Home
»
michezo
» HIZI NI Picha 19 za matukio mbalimbali yaliyotokea Uwanja wa Taifa katika mechi kati ya Yanga Vs Azam FC.
Mpambano uliokuwa unasubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka Tanzania kati ya klabu ya Yanga dhidi ya Azam FC,huu
ni mchezo wa ngao ya hisani umechezwa siku ya Jumamosi ya August 22.
Mchezo huu ambao kila timu imepania kulinda heshima kwani ni mechi
inayowakutanisha mabingwa wa Ligi Kuu Yanga dhidi ya Azam FC ambayo ni mshindi wa pili wa Ligi Kuu Tanzania bara.
Mchezo ambao ulikuwa wa kuvutia na
kushambuliana kwa zamu, kipindi cha kwanza kilimalizika kila timu
ikienda mapumzikoni bila kuona lango la mwenzake. Kipindi cha pili
kilianza kwa kila timu kushambuliana kwa zamu. Mchezo uliamuliwa kwa
mikwaju ya penati na Yanga kuibuka na ushindi wa penati 8-7.
Penati za Yanga zilipigwa na Mbuyu
Twite, Amissi Tambwe, Geofrey Mwashiuya, Andrey Coutinho, Haruna
Niyonzima, Deus Kaseke, Kelvin Yondani huku Nadir Haroub akikosa penati
na penati za upande wa Azam FC zilipigwa na Erasto Nyoni, Aggrey Morris,
Himid Mao, John Bocco, Kipre Tchetche, Jean Mugiraneza na Pascal Wawa
na Ame Ally penati zao zilidakwa na Ally Mustapha
Mtu wangu wa nguvu nimekusogezea picha
za matukio mbalimbali yaliotokea ndani ya Uwanja na nje ya Uwanja wakati
mabingwa wapya wa ngao ya hisani Yanga wakishangilia ushindi walioupata dhidi ya Azam FC, timu ambayo ilikuwa ina miliki ngao hiyo.
About Author

Advertisement

Related Posts
- TIMU 20 KUSHIRIKI MICHUANO YA CHEM CHEM CUP MDORII30 Jul 20180
Na: Mwandishi wetu, Manyara Jumla ya timu 20, zinatarajiwa kushiriki ligi ya Chem Chem CUP, wila...Read more »
- WAZIRI MKUU KASSIMU MAJALIWA ASHIRIKI UJENZI WA UWANJA MPYA WA MICHEZO RUANGWA26 May 20180
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameshiriki kazi za ujenzi wa uwanja mpya wa michezo wilayani...Read more »
- Kauli ya Manara Baada ya Kutenguliwa uzu na Kagera Sugar20 May 20180
Baada ya Kagera Sugar kutibua sherehe za ubingwa Simba jana kwa ku...Read more »
- COASTAL UNION YAMKABIDHI TUZO YA HESHIMA WAZIRI UMMY MWALIMU KWA KUISAIDIA KURUDI LIGI KUU11 May 20180
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ambaye pia ni Mbunge wa...Read more »
- MWAMUZI Atakayecheza Fainali ya Real Madrid na Liverpool Atajwa!!!!???08 May 20180
Mchezo ambao unasubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa soka duniani kwa sasa ni fainal...Read more »
- BAADA YA KUTANGAZA KUJIUZULU ARSENE WENGER AZIDI KUWEWESEKA27 Apr 20180
Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger anasema kuwa tangazo lililofanywa kuhusu kuondoka k...Read more »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.