PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: HABARI PICHA-DAKTARI WA SHIRIKA LA WAMISIONARI AKIWAPIMA AFYA VIJANA AMBAO NI WAATHIRIKA WA MADAWA YA KULEVYA
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
Daktari wa Shirika la Wamisionari  (Medical Missionaries lifestyle center for East Afrika) Kefa  Omari akitoa elimu kwa vijana ambao ni wa...
Daktari wa Shirika la Wamisionari  (Medical Missionaries lifestyle center for East Afrika) Kefa  Omari akitoa elimu kwa vijana ambao ni waathirika wa madawa
wanaoishi katika kituo cha Gola Foundation kilichopo kijiji cha Njoro wilaya ya Arumeru kinachojishughulisha na watoto na vijana ambao ni  waathirika wa madawa hayo, Daktari huyo alifika katika kituo hicho jana na  kutoa msaada wa kitabibu kwa vijana hao pamoja na madawa ya kuondoa sumu inayotokana na madawa hayo katika mwili,katikati ni  Mkurugenzi wa Shirika hilo Elisha Maghembe Picha na Ferdinand Shayo
Picha na Ferdinand Shayo

Daktari wa Shirika la Wamisionari  (Medical Missionaries lifestyle center for East Afrika) Kefa  Omari akimpima afya ya mwili mzima kijana Francis Oni ambaye ni Mwathirika wa madawa ya kulevya anaeishi katika kituo cha Gola Foundation kilichopo kijiji cha Njoro wilaya ya Arumeru kinachojishughulisha na watoto na vijana ambao ni  waathirika wa madawa hayo,kipimo cha kisasa kinachotumia kompyuta kitaalamu kinaitwa (QMA). Daktari huyo alifika katika kituo hicho jana na  kutoa msaada wa kitabibu kwa vijana hao pamoja na madawa ya kuondoa sumu inayotokana na madawa hayo katika mwili.Picha na Ferdinand Shayo

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top