![]() |
| Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akikagua mazao yanayotokana na ufugaji wa Nyuki kwenye banda la Wajasiriamali kutoka wilayani Kibondo mkoa wa Kigoma. |
![]() |
| Wadau kutoka maeneo mbalimbali nchi wakionesha bidhaa zao zinazotokana na Ufugaji Nyuki na mazao yake likiwa na lengo la kutunza mazingira na kukuza uchumi. |
![]() |
| Wadau kutoka maeneo mbalimbali nchi wakionesha bidhaa zao zinazotokana na Ufugaji Nyuki na mazao yake likiwa na lengo la kutunza mazingira na kukuza uchumi. |
![]() |
| Maafisa wa Shirika la TBS linalohakiki ubora wa bidhaa mbalimbali wakiwa miongoni mwa washiriki ili kuhakikisha ubora wa bidhaa za wajasiriamali. |






Post a Comment