PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: YANGA YAIPIGISHA KWATA JKT RUVU, YAICHAPA 2-1
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
  ...
 

 
Mashabiki wa Yanga wakifuatilia mchezo huo.

Jaja akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa JKT Ruvu.

Jaja akichuana na beki wa JKT RUVU, Madenge Ramadhani.

Jaja akichuana na beki wa JKT RUVU, Madenge Ramadhani.

Mashabiki wa Yanga wakiishangilia timu yao.


Edward Manyama akimtoka beki wa JKT Ruvu, Madenge Ramadhani.

Kipa wa JKT Ruvu, Jackson Chove akiruka juu kuokoa hatari langoni mwake.

Mohamed Faki akimiliki mpira mbele ya mshambuliaji wa Yanga, Haruna Niyonzima.

Wachezaji wa Yanga wakishangilia bao lililofungwa na Kelvin Yondani katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top