PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: IRINGA: WAKULIMA WA NYANYA IRINGA WATAKIWA KUUNDA VIKUNDI
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
     Wakulima wa nyanya mkoani Iringa, wameshauriwa kujiunga katika vikundi ili waweze kunufaika na mi...

  
Wakulima wa nyanya mkoani Iringa, wameshauriwa kujiunga katika vikundi ili waweze kunufaika na misaada mbalimbali pamoja na mikopo kutoka katika taasisi za fedha ikiwamo benki na vicoba ili kuinua thamani ya mazao wanayozalisha.
Akizungumza katika maadhimisho hayo, Guninita, ambaye alikuwa akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk. Christine Ishengoma alisema ikiwa wakulima hao wataunda vikundi na kusajili, watakuwa wametambuliwa na kuwa na sifa za kupata mikopo katika taasisi za fedha jambo linaloweza kuwasaidia kupata mitaji kwa ajili ya kuendesha shughuli zao. “Ninaomba mjiunge katika vikundi na sisi serikalini tunasaidia pale itakapoonekana kuna ulazima,” alisema.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top