PRINCE MEDIA TZ PRINCE MEDIA TZ Author
Title: KERO ZA Msongamano na mpangilio mbovu wa eneo la Kivukoni (Feri) jijini Dar es Salaam
Author: PRINCE MEDIA TZ
Rating 5 of 5 Des:
  Kutokana na kuzuiliwa kwa mabasi ya ya kubeba abiria ...
 
Kutokana na kuzuiliwa kwa mabasi ya ya kubeba abiria maarufu kama 'Daladala' kufika eneo la Kivukoni, kunasababisha usumbufu kwa wakazi wa Kigamboni wanaokuja katika ya jiji wanaposhuka kutoka katika Kivuko.
Idadi kubwa ya watu wanaoshuka kwenye Kivuko toka katika mabasi ya UDA yanayotoa huduma ya usafiri yanakuwa hayatoshelezi kuwabeba wote na kusababisha watu wengi kutembea kwa miguu kuja katikati ya Jiji. 
FikraPevu002
FikraPevu003
Baadhi ya sehemu za eneo la Soko Kuu la Samaki la Feri la jijini Dar es Salaam zikiwa zimelundikwa takataka. Soko hili linatembelewa na wageni wengi kwa shughuli mbalimbali. 
FikraPevu004
Kuna hatari barabara za mradi wa mabasi yaendao kasi zinazoendelea kujengwa kugeuzwa sehemu ya kufanyia biashara. Katika picha hii, mkazi wa jijini Dar es Salaam akiwa amepanga vitunguu katika moja ya barabara hizo iendayo Kivukoni.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top